TASWIRA MBALIMBALI ZA KUWAKARIBISHA MWAKA WA KWANZA 2012 KATIKA CHUO KIKUU CHA ST. JOHN MJINI DODOMA
![]() |
Hapa ilikuwa ni game kati ya mwaka wa kwanza na continue, ambapo mwaka wa kwanza walionyesha umahiri wao |
![]() |
Wengine walikuwa wanacheza Volleyball |
![]() |
Wakina Bakari model walikuwepo |
![]() |
Man Mbuzi |
![]() |
Hapa ni jioni ndani ya ukumbi wa MH |
![]() |
Kikundi cha ngoma za jadi kinachojulikana kwa jina la Hiari Ya Moyo ambacho nacho kilitoa burudani ndani ya ukumbi |
![]() |
Hapa mchizi kutoka kikundi cha Hiari Ya Moyo akifanya yake |
![]() |
Vijana wakicheza on stage |
![]() |
Hawa ndio wanakamati waliosababisha yao katika sherehe hiyo |
![]() |
Pasquina |
![]() |
Mzee wa Zilipendwa akijitambulisha |
![]() |
Kijana kutoka kamati ya ulinzi na usalama James Mwakimonga |
![]() |
Mofu J |
![]() |
Elias |
![]() |
Mzee Jeffy |
![]() |
VC akifungua mziki |
![]() |
VC akiwakaribisha first year pamoja na kuwahusia kujituma katika masomo yao |
![]() |
Hapa ndio mziki umeishafunguliwa na wanakamati wakijimwayamwaya |
![]() |
Waweza sema mapacha ila ni marafiki |
![]() |
Mwinyi The Blogger |
![]() |