Breaking News

TAMASHA La Mwendokasi Festival Kuliteka Jiji la Dar es Salaam Tarehe 30 July 2016


Tarehe 30 Mwisho wa mwezi huu wa saba Tanzania kushuhudia mapinduzi ya kiburudani. Tamasha Kubwa la MWENDOKASI FESTIVAL linatarajiwa kufanyika katika Viwanja vya Postal Kijitonyama, Wasanii Wakubwa Mbali mbali wa Bongo Flava watatoa burudani kali mbele ya maelfu ya wakazi wa Dar es salaam , Baadhi ya wasanii ambao watakuwepo ni
Navy Kenzo,
Ally Kiba,
Christain Bella
Roma,
ManiFongo,
Snura,
Gnako,
Isha Mashauzi,
SautiSol,
Mr Blue,
Nuh Mziwanda,
Barnaba
Adamu Mchumvu
Quick Rocka
Juma Nature
Nay wa Mitego
Rucky Beby
Dj D Ommy na wengine
Katika tamasha hilo patakuwa na sehemu ya kawaida ambapo kiingilio kitakuwa ni 10,000/= kwa Mtu mmoja,

Kutakuwa na sehemu maalumu ya VIP ambapo Kiingilio kitakuwa 100,000/= kwa watu wawili


Pia Kutakuwa na Sehemu maalumu kwa ajili ya VVIP ambapo Kiingilio ni 500,000/= Kwa watu wanne

Tickets zitaanza kuuzwa soon katika vituo mbali mbali ambapo tutawatajia muda si mrefu. Usikose Mtu Wangu ...Ni pale Viwanja vya Posta Sayansi Kuanzia Saa nane mpaka Kuchweeee
 Thank you for visiting Mwinyi Blog, please click HERE to like my facebook page for more entertainment.