Breaking News

(PICHA) JOHARI AVUTA MKOKO MPYA AINA YA MARK X

Mwaka 2014 umeanza vizuri kwa mwanadada Johari Chagula baada ya hivi karibuni kuvuta usafiri mpya kabisa aina ya Mark X ambayo thamani yake inasemekana kuwa zaidi ya Tshs. Millioni 25 za kibongo.


Gari hii kaionyesha ikiwa ni siku chache tu baada ya kutoka Mbeya, ambapo yeye pamoja na wasanii wenzake wa Bongo Movies walipotangaza kujiunga na CCM


@Bongo Movie
 Asante kwa kutembelea Mwinyi Blog, naomba ubonyeze HAPA ulike page yangu ya facebook ili uendelee kupata matukio mbalimbali ya hapa na pale.