Breaking News

HAIJACHACHA! PICHA YA DAVIDO AKIWA NA MDADA ACTRESS WA KIBONGO KITANDANI YAVUJA MTANDAONI



Msanii maarufu wa muziki kutoka Nigeria ajulikanae kwa jina la Davido anaetamba na kibao chake cha SKELEWU, hivi ndivyo alivyopigwa picha na mwanadada huyu anaedaiwa kuwa mwigizajiwa wa bongo movi wakiwa katika pozi la mahaba kitandani kipindi hicho mzee wa SKELEWU alivyokuja Bongo. Kumekuwa na kamchezo kakujiraisi kwa wadada zetu pindi msanii mkubwa wa kimataifa anapokuja nchini basi wao utaka kulala nao kwa namna yoyote ile. Sijui hii ni kutaka kuona utofauti wa mapenzi ya wanaume wa TZ na wanaume wengine mastar wa nje ya nchi au kujidai kuwa ameishalala na fulani? Jibu atakuwa nalo muhusika mwenyewe  na bila shaka alienjoy sana.


Asante kwa kutembelea Mwinyi Blog, naomba ubonyeze HAPA ulike page yangu ya facebook ili uendelee kupata matukio mbalimbali ya hapa na pale.