Breaking News

New Music: Baibe Lizy - Nyota inang'aa



https://mkito.com/song/nyota-inangaa/2522/bwi-20-792

Mrembo huyu na mshindi wa pili (1st Runner) wa Redds Miss Tabora 2014. Kipaji chake kiliibuka kupitia shindano hilo kwa kuimba nyimbo za wasanii wengine. Baibe Lizy ameamua kukiendeleza kipaji hiki na sasa ni wakati wenu Watanzania kumpokea. Producer ni Eizer Bitz na Nusder. Asante kwa kutembelea MWINYI BLOG naomba ubofye HAPA kuingia kwenye page yangu ya facebook na kulike page ili uendelee kupata burudani na matukio ya hapa na pale.